Katibu Mtendji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, George Mandepo na baadhi ya viongozi wa Tume hiyo wakiwa na wageni kutoka Chuo Kikuu Mzumbe na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Dodoma walipotembelea ofisi za Tume hiyo tarehe 29 Julai 2025
Katibu Mtendji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, George Mandepo, akipokea Journal kutoka kwa Yulita Michael ambae ni Mkutubi kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe alipotembelea ofisi ya Tume hiyo tarehe 29 Julai 2025.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, George Mandepo, aliesimama wa kwanza upande wa kulia akiwa na Maafisa kutoka katia Tume hiyo wakiwa nje ya Jengo la Redio Jamii TBC Dodoma tarehe 24 Julai 2025
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania George Mandepo, akiwa katika kituo cha Redio Jamii TBC Dodoma alipokua anazungumza kupitia kipindi cha Jilawi kuhusu shughuli mbalimbali zilizofanywa na zinazoendelea kufanywa na Tume hiyo tarehe 24 Julai 2025
Maafisa wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, wakiwa katika uandaaji wa mpango wa manunuzi wa mwaka 2025/2026 katika ukumbi wa Serengeti uliopo Magadu Mzinga mkoani Morogoro, tarehe 23 Julai 2025.
Maafisa wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, wakiwa katika uandaaji wa mpango wa manunuzi wa mwaka 2025/2026 katika ukumbi wa Serengeti uliopo Magadu Mzinga mkoani Morogoro, tarehe 21 Julai 2025