Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu cha A3 kilichopo Kibaha Mkoani Pwani wakiwa katika picha ya pamoja na Wanasheria kutoka Tume ya Kurekebisha sheria Tanzania (LRCT) pamoja na Mwanasheria kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani ( wa mwisho kushoto) baada ya kumaliza programu ya mafunzo ya elimu ya sheria kwa umma waliyokuwa wakiyatoa katika chuo hicho hivi karibuni.