Saini ya kidijitali
eDodoso
Barua pepe
Mrejesho
ofisi Mtandao
Wasiliana nasi
SW
EN
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Majukumu
Dira na Dhamira
Historia ya LRCT
Utawala
Muundo
Tume
Utawala
Vitengo
Mapitio ya Sheria
Tafiti za Sheria
Elimu ya Sheria kwa Umma
Ukaguzi wa Ndani
Manunuzi na Ugavi
Utawala na Rasilimali watu
Uhasibu
Tehama
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Kitengo cha Tathmini na Ufuatiliaji
Ununuzi
Mpango wa Matarajio ya Ununuzi
Mpango wa Mwaka wa Ununuzi
Matangazo ya Zabuni
Misingi ya sheria
Makosa ya Jinai
Ki Uchumi
Utakatishaji fedha
Rushwa
Madai
Ndoa
Mirathi
Mikataba
Ardhi
Utawala
Mipango na uratibu
Kituo cha Habari
Taarifa kwa Umma
Maktaba ya Picha
Hotuba
Maktaba ya Video
Nyaraka za Kisheria
Mikataba ya Kikanda
AU
SADC
EAC
Mikataba na maazimio ya Kimataifa
Sheria
Kanuni
Machapisho
Law Reformer Journal 2024
Vipeperushi
Ununuzi na Ugavi
Majukumu ya Kitengo cha Ugavi na Ununuzi
Mkuu wa Kitengo - Nessy E. Kyejo
Kusimamia ununuzi wowote na uuzaji wa mali za Wizara kwa njia ya Zabuni isipokuwa usuluhishi na kutunuku zabuni ;
Kuratibu shughuli za Bodi ya Zabuni ya Wizara;
Kutekeleza maamuzi ya Bodi ya Zabuni ya Wizara;
Kufanya kazi kama Sekritarieti ya Bodi ya Zabuni ya Wizara
Kuandaa mpango wa Ununuzi na Uuzaji wa mali za Wizara kwa njia ya Zabuni;
Kupendekeza ununuzi na uondoshaji wa mali za Wizara kwa utaratibu wa zabuni;
Kukagua na kuainisha upungufu wa mahitaji katika Wizara na kutoa tamko kuhusu mahitaji hayo;
Kuandaa nyaraka za zabuni kwa ajili wazabuni kushiriki;
Kuandaa matangozo ya fursa za zabuni;
Kuandaa rasmu za Mikataba;
Kutoa mikataba iliyothibitishwa na kusainiwa;
Kuandaa na kuhifadhi kumbukumbu za mchakato wa ununuzi na uuzaji wa mali za Wizara;
Kuandaa na kutunza orodha au kitabu cha mikataba yote ambayo Wizara imetunuku;
Kuandaa taarifa za kila mwezi kwa ajili ya Bodi ya Zabuni ya Wizara;
Kuandaa taarifa ya kila robo ya mwaka juu ya utekelezaji wa mpango wa ununuzi na kuwasilisha katika kikao cha menejimenti ya Wizara;
Kuratibu kazi za ununuzi na uondoshaji wa mali za serikali katika Idara na vitengo vyote vya Wizara; na
Kuandaa taarifa nyinginezo kadri zitakavyo hitajika muda wowote.